Yeremia 7:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Msitumainie maneno ya uongo, mkisema, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA, Hekalu la BWANA ndiyo haya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Msitumainie maneno haya ya uongo: ‘Hili ni hekalu la Mwenyezi-Mungu, hekalu la Mwenyezi-Mungu, naam hekalu la Mwenyezi-Mungu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Msitumainie maneno haya ya uongo: ‘Hili ni hekalu la Mwenyezi-Mungu, hekalu la Mwenyezi-Mungu, naam hekalu la Mwenyezi-Mungu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Msitumainie maneno haya ya uongo: ‘Hili ni hekalu la Mwenyezi-Mungu, hekalu la Mwenyezi-Mungu, naam hekalu la Mwenyezi-Mungu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Msitumainie maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni Hekalu la Mwenyezi Mungu, Hekalu la Mwenyezi Mungu, Hekalu la Mwenyezi Mungu!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Msitumainie maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni Hekalu la bwana, Hekalu la bwana, Hekalu la bwana!” Tazama sura |