Yeremia 7:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Je! Watu hawa wanikasirisha mimi? Asema BWANA; hawajikasirishi nafsi zao, na kuzitia haya nyuso zao wenyewe? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Lakini je, wanamwudhi nani? Mimi? Hata kidogo! Wanajiumiza wao wenyewe na kuchanganyikiwa! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Lakini je, wanamwudhi nani? Mimi? Hata kidogo! Wanajiumiza wao wenyewe na kuchanganyikiwa! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Lakini je, wanamwudhi nani? Mimi? Hata kidogo! Wanajiumiza wao wenyewe na kuchanganyikiwa! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Lakini je, mimi ndiye wanayenikasirisha? asema Mwenyezi Mungu. Je, hawajiumizi wenyewe na kujiaibisha? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Lakini je, mimi ndiye wanayenikasirisha? asema bwana. Je, hawajiumizi wenyewe na kujiaibisha? Tazama sura |