Yeremia 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Je! Nyumba hii, iitwayo kwa jina langu, imekuwa pango la wanyang'anyi machoni penu? Angalieni, mimi, naam, mimi, nimeliona jambo hili, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Je, hekalu hili linalojulikana kwa jina langu limekuwa pango la wanyanganyi? Jueni kuwa mimi nimeyaona yote mnayofanya! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Je, hekalu hili linalojulikana kwa jina langu limekuwa pango la wanyanganyi? Jueni kuwa mimi nimeyaona yote mnayofanya! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Je, hekalu hili linalojulikana kwa jina langu limekuwa pango la wanyang'anyi? Jueni kuwa mimi nimeyaona yote mnayofanya! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Je, nyumba hii, iitwayo kwa Jina langu, imekuwa pango la wanyang’anyi kwenu? Lakini nimekuwa nikiona yanayotendeka! asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Je, nyumba hii, iitwayo kwa Jina langu, imekuwa pango la wanyang’anyi kwenu? Lakini nimekuwa nikiona yanayotendeka! asema bwana. Tazama sura |