Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 7:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, kutoka kwa BWANA, kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mwenyezi-Mungu alimwamuru Yeremia aende kusimama

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mwenyezi-Mungu alimwamuru Yeremia aende kusimama

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mwenyezi-Mungu alimwamuru Yeremia aende kusimama

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Mwenyezi Mungu:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa bwana:

Tazama sura Nakili




Yeremia 7:1
5 Marejeleo ya Msalaba  

Neno la BWANA likamjia, kusema,


Neno la BWANA likanijia, kusema,


Neno hili ndilo lililomjia Yeremia, katika habari za watu wote wa Yuda; katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda mwaka ule ndio mwaka wa kwanza wa Nebukadneza, mfalme wa Babeli;


Watu watawaita taka za fedha, kwa sababu BWANA amewakataa.


Simama langoni pa nyumba ya BWANA, ukatangaze hapo neno hili, ukisema, Sikilizeni neno la BWANA, ninyi nyote wa Yuda, mnaoingia katika malango haya ili kumwabudu BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo