Yeremia 6:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Maana BWANA wa majeshi asema hivi, Jikatieni miti, mjenge boma juu ya Yerusalemu. Mji huu ni mji unaojiwa; dhuluma tupu imo ndani yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema: “Kateni miti yake, rundikeni udongo kuuzingira Yerusalemu. Mji huu ni lazima uadhibiwe, maana hamna lolote ndani yake ila dhuluma. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema: “Kateni miti yake, rundikeni udongo kuuzingira Yerusalemu. Mji huu ni lazima uadhibiwe, maana hamna lolote ndani yake ila dhuluma. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema: “Kateni miti yake, rundikeni udongo kuuzingira Yerusalemu. Mji huu ni lazima uadhibiwe, maana hamna lolote ndani yake ila dhuluma. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Hivi ndivyo asemavyo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni: “Kateni miti mjenge boma kuzingira Yerusalemu. Mji huu ni lazima uadhibiwe; umejazwa na uonevu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Hivi ndivyo asemavyo bwana Mwenye Nguvu Zote: “Kateni miti mjenge boma kuzunguka Yerusalemu. Mji huu ni lazima uadhibiwe, umejazwa na uonevu. Tazama sura |