Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 6:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Takaseni vita juu yake; inukeni, na tupande juu wakati wa adhuhuri. Ole wetu, kwa kuwa mchana umeanza kupungua, vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Watasema: “Jitayarisheni kuushambulia Siyoni. Haya! Tuanze kushambulia adhuhuri! Bahati mbaya; jua linatua! Kivuli cha jioni kinarefuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Watasema: “Jitayarisheni kuushambulia Siyoni. Haya! Tuanze kushambulia adhuhuri! Bahati mbaya; jua linatua! Kivuli cha jioni kinarefuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Watasema: “Jitayarisheni kuushambulia Siyoni. Haya! Tuanze kushambulia adhuhuri! Bahati mbaya; jua linatua! Kivuli cha jioni kinarefuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 “Jiandaeni kwa vita dhidi yake! Inukeni tumshambulie mchana! Lakini, ole wetu, mchana unaisha, na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 “Jiandaeni kwa vita dhidi yake! Inukeni tumshambulie mchana! Lakini, ole wetu, mchana unaisha, na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 6:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kama mtumishi atamaniye sana kile kivuli, Kama mwajiriwa anayetazamia mshahara wake;


Hata jua lipunge, na vivuli vikimbie, Unigeukie, mpendwa wangu, Nawe uwe kama paa, au ayala, Juu ya milima ya Betheri.


Wajane wao wameongezeka kwangu kuliko mchanga wa bahari; nimeleta mwenye kuteka wakati wa adhuhuri juu ya mama wa vijana; nimeleta uchungu na hofu kuu impate ghafla.


Mwanamke aliyezaa watoto saba anazimia; ametoa roho; jua lake limekuchwa, ikiwa bado ni wakati wa mchana; ameaibika na kutwezwa; na mabaki yao nitawatoa kwa upanga mbele ya adui zao, asema BWANA.


Pandeni juu ya kuta zake mkaharibu, lakini msiharibu kabisa; ondoeni matawi yake; kwa maana si yake BWANA.


Washika upinde na mkuki; ni wakatili, hawana huruma; sauti yao huvuma kama bahari, nao wamepanda farasi wao; kila mmoja kama mtu wa vita amejipanga juu yako, Ee binti Sayuni.


Mavuno yamepita, wakati wa joto umekwisha, wala sisi hatukuokoka.


Tangazeni haya kati ya mataifa; jitayarisheni kwa vita; waamsheni mashujaa; watu wa vita na wakaribie; na wapande juu.


Maono yake Obadia. Ndivyo asemavyo Bwana MUNGU juu ya Edomu; Tumepata habari kwa BWANA, Na mjumbe ametumwa kati ya mataifa, Akisema, Haya, inukeni ninyi; Na tuinuke tupigane naye.


BWANA asema hivi kuhusu manabii wanaowakosesha watu wangu; hao waumao kwa meno yao, na kulia, Amani; na mtu awaye yote asiyetia kitu vinywani mwao, wao humwandalia vita.


Kwa kuwa Gaza utaachwa, na Ashkeloni utakuwa ukiwa; wataufukuzia mbali Ashdodi wakati wa adhuhuri, na Ekroni utang'olewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo