Yeremia 6:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC28 Ni waasi kupita kiasi wote pia, waendao huku na huko wakisingizia, ni shaba na chuma hao, hutenda dhuluma wote pia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Wote ni waasi wakaidi, ni watu wanaopitapita wakisengenya wengine, wagumu kama shaba nyeusi au chuma; wote hutenda kwa ufisadi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Wote ni waasi wakaidi, ni watu wanaopitapita wakisengenya wengine, wagumu kama shaba nyeusi au chuma; wote hutenda kwa ufisadi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Wote ni waasi wakaidi, ni watu wanaopitapita wakisengenya wengine, wagumu kama shaba nyeusi au chuma; wote hutenda kwa ufisadi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Wote ni waasi sugu, wakienda huku na huko kusengenya. Wao ni shaba na chuma, wote wanatenda upotovu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Wote ni waasi sugu, wakienda huku na huko kusengenya. Wao ni shaba na chuma, wote wanatenda upotovu. Tazama sura |