Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 6:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Binti Sayuni aliye mzuri, mwororo, nitamkatilia mbali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mji wa Siyoni ni mzuri na mwororo, lakini utaangamizwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mji wa Siyoni ni mzuri na mwororo, lakini utaangamizwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mji wa Siyoni ni mzuri na mwororo, lakini utaangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nitamwangamiza Binti Sayuni, aliye mzuri sana na mwororo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nitamwangamiza Binti Sayuni, aliye mzuri sana na mwororo.

Tazama sura Nakili




Yeremia 6:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na binti Sayuni ameachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kipenu katika shamba la matango, kama mji uliohusuriwa.


Kwa maana nimesikia sauti, kama sauti ya mwanamke wakati wa uchungu wake, na sauti yake aumwaye, kama mwanamke azaaye mtoto wake wa kwanza, sauti ya binti Sayuni, atwetaye kupata pumzi, na kunyosha mikono yake, akisema, Ole wangu, sasa! Kwa maana roho yangu inazimia mbele ya wauaji.


Jinsi Bwana alivyomfunika binti Sayuni Kwa wingu katika hasira yake! Ameutupa toka mbinguni hata nchi Huo uzuri wa Israeli; Wala hakukikumbuka kiti cha miguu yake Katika siku ya hasira yake.


Nikushuhudie nini? Nikufananishe na nini, Ee Binti Yerusalemu? Nikulinganishe na nini, nipate kukufariji, Ee bikira binti Sayuni? Kwa maana uvunjifu wako ni mkuu kama bahari, Ni nani awezaye kukuponya?


Wale waliokula vitu vya anasa Wameachwa peke yao njiani; Wale waliokuzwa kuvaa nguo nyekundu Wakumbatia jaa.


Mwanamke kati yenu aliye mwororo na laini, ambaye hangehatarisha kuweka wayo wa mguu wake nchi kwa umalidadi na ulaini, jicho lake huyu litakuwa ovu juu ya mume wa kifuani mwake, na juu ya mwanawe, na juu ya binti yake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo