Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 51:61 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

61 Naye Yeremia akamwambia Seraya, Utakapofika Babeli, basi angalia uyasome maneno haya yote,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

61 Nilimwambia Seraya: “Utakapofika Babuloni ni lazima uwasomee wote ujumbe huu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

61 Nilimwambia Seraya: “Utakapofika Babuloni ni lazima uwasomee wote ujumbe huu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

61 Nilimwambia Seraya: “Utakapofika Babuloni ni lazima uwasomee wote ujumbe huu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

61 Yeremia akamwambia Seraya, “Utakapofika Babeli, hakikisha kwamba umesoma maneno haya yote kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

61 Yeremia akamwambia Seraya, “Utakapofika Babeli, hakikisha kwamba umesoma maneno haya yote kwa sauti kubwa.

Tazama sura Nakili




Yeremia 51:61
9 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yeremia akaandika katika kitabu kuhusu mabaya yote yatakayoupata Babeli, maneno hayo yote yaliyoandikwa juu ya Babeli.


ukaseme, Ee BWANA, umenena kuhusu mji huu kwamba utakatiliwa mbali, usikaliwe na awaye yote, wala wanadamu wala wanyama, lakini uwe ukiwa hata milele.


Yesu akaenda zake, akatoka hekaluni; wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonesha majengo ya hekalu.


Alipokuwa akitoka hekaluni, mmoja wa wanafunzi wake alimwambia, Mwalimu, tazama, yalivyo mawe na majengo haya!


Waraka huu ukiisha kusomwa kwenu hakikisheni kwamba unasomwa katika kanisa la Walaodikia pia; na ule wa Laodikia usomwe na ninyi.


Basi, farijianeni kwa maneno hayo.


Nawaapisha kwa Bwana, ndugu wote wasomewe waraka huu.


Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati uko karibu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo