Yeremia 51:52 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC52 Kwa sababu hiyo siku zinakuja, asema BWANA, nitakapozihukumu sanamu zake; na katika nchi yake yote waliojeruhiwa wataomboleza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema52 “Kwa hiyo, wakati unakuja, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, ambapo nitaviadhibu vinyago vya Babuloni, na majeruhi watapiga kite katika nchi yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND52 “Kwa hiyo, wakati unakuja, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, ambapo nitaviadhibu vinyago vya Babuloni, na majeruhi watapiga kite katika nchi yake yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza52 “Kwa hiyo, wakati unakuja, nasema mimi Mwenyezi-Mungu, ambapo nitaviadhibu vinyago vya Babuloni, na majeruhi watapiga kite katika nchi yake yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu52 “Lakini siku zinakuja,” asema Mwenyezi Mungu, “nitakapoziadhibu sanamu zake, na katika nchi yake yote waliojeruhiwa watalia kwa maumivu makali. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu52 “Lakini siku zinakuja,” asema bwana, “nitakapoadhibu sanamu zake, na katika nchi yake yote waliojeruhiwa watalia kwa maumivu makali. Tazama sura |