Yeremia 51:45 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC45 Enyi watu wangu; tokeni katikati yake, mkajiokoe nafsi zenu kutoka kwa hasira kali ya BWANA, kila mmoja wenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema45 “Tokeni humo enyi watu wangu! Kila mtu na ayasalimishe maisha yake, kutoka hasira kali ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND45 “Tokeni humo enyi watu wangu! Kila mtu na ayasalimishe maisha yake, kutoka hasira kali ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza45 “Tokeni humo enyi watu wangu! Kila mtu na ayasalimishe maisha yake, kutoka hasira kali ya Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu45 “Tokeni ndani yake, enyi watu wangu! Okoeni maisha yenu! Ikimbieni hasira kali ya Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu45 “Tokeni ndani yake, enyi watu wangu! Okoeni maisha yenu! Ikimbieni hasira kali ya bwana. Tazama sura |