Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 51:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

42 Bahari imefika juu ya Babeli, Umefunikwa kwa wingi wa mawimbi yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Bahari imefurika juu ya Babuloni, Babuloni imefunikwa mawimbi yaliyochafuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Bahari imefurika juu ya Babuloni, Babuloni imefunikwa mawimbi yaliyochafuka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Bahari imefurika juu ya Babuloni, Babuloni imefunikwa mawimbi yaliyochafuka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 Bahari itainuka juu ya Babeli; mawimbi yake yanayonguruma yatamfunika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 Bahari itainuka juu ya Babeli; mawimbi yake yenye kunguruma yatamfunika.

Tazama sura Nakili




Yeremia 51:42
15 Marejeleo ya Msalaba  

Alinishukia kutoka juu, akanichukua, Na kunitoa katika maji mengi.


Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.


Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maporomoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu.


Watuliza kuvuma kwa bahari, Kuvuma kwa mawimbi yake, Na ghasia za watu;


Ee BWANA, mito imepaza, Mito imepaza sauti zake, Mito imepaza uvumi wake.


Ufunuo juu ya nyika kando ya bahari. Kama tufani za Negebu zikaribiavyo kwa kasi, inakuja kutoka kwa nyika, toka nchi itishayo.


Maana BWANA amwangamiza Babeli, Na kuikomesha sauti kuu ndani yake; Na mawimbi yake yavuma kama maji mengi, Mshindo wa sauti zao wafanya makelele;


basi Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ee Tiro, nami nitaleta mataifa mengi kupigana nawe, kama bahari iinuavyo mawimbi yake.


Na wanawe watafanya vita, na kukusanya mkutano wa majeshi makuu; watakaokuja na kufurika na kupita katikati; nao watarudi na kufanya vita mpaka penye ngome yake.


Danieli akanena, akisema, Niliona katika maono yangu wakati wa usiku; na tazama, hizo pepo nne za mbinguni zilivuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa.


Na baada ya yale majuma sitini na mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa.


Tena, kutakuwa na ishara katika jua, na mwezi, na nyota; na katika nchi dhiki ya mataifa wakishangaa kwa kuvuma kwa habari na mawimbi yake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo