Yeremia 51:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Basi, BWANA asema hivi, Tazama, nitakutetea, nami nitatwaa kisasi kwa ajili yako; nami nitaikausha bahari yake, nitaifanya chemchemi yake kuwa pakavu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Kwa hiyo asema hivi Mwenyezi-Mungu: “Nitawatetea kuhusu kisa chenu, na kulipiza kisasi kwa ajili yenu. Nitaikausha bahari ya Babuloni na kuvifanya visima vyake vikauke. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Kwa hiyo asema hivi Mwenyezi-Mungu: “Nitawatetea kuhusu kisa chenu, na kulipiza kisasi kwa ajili yenu. Nitaikausha bahari ya Babuloni na kuvifanya visima vyake vikauke. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Kwa hiyo asema hivi Mwenyezi-Mungu: “Nitawatetea kuhusu kisa chenu, na kulipiza kisasi kwa ajili yenu. Nitaikausha bahari ya Babuloni na kuvifanya visima vyake vikauke. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Kwa hiyo, hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Tazama, nitakutetea na kukulipizia kisasi; nitaikausha bahari yake na kuzikausha chemchemi zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Kwa hiyo, hili ndilo bwana asemalo: “Tazama, nitatetea shauri lako na kulipiza kisasi kwa ajili yako; nitaikausha bahari yake na kuzikausha chemchemi zake. Tazama sura |