Yeremia 51:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Udhalimu niliotendwa mimi, na uliotendwa mwili wangu, umpate Babeli; ndivyo atakavyosema yeye akaaye Sayuni; na Yerusalemu atasema, Damu yangu na iwe juu yao wakaao katika Ukaldayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Watu wa Yerusalemu na waseme: “Babuloni na ulipizwe ukatili uleule, tuliotendwa sisi pamoja na jamaa zetu! Babuloni ipatilizwe kwa umwagaji wa damu yetu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Watu wa Yerusalemu na waseme: “Babuloni na ulipizwe ukatili uleule, tuliotendwa sisi pamoja na jamaa zetu! Babuloni ipatilizwe kwa umwagaji wa damu yetu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Watu wa Yerusalemu na waseme: “Babuloni na ulipizwe ukatili uleule, tuliotendwa sisi pamoja na jamaa zetu! Babuloni ipatilizwe kwa umwagaji wa damu yetu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Jeuri iliyotendewa miili yetu na iwe juu ya Babeli,” ndivyo wasemavyo wakaaji wa Sayuni. “Damu yetu na iwe juu ya wakaaji wa Babeli,” asema Yerusalemu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Jeuri iliyofanyiwa miili yetu na iwe juu ya Babeli,” ndivyo wasemavyo wakaao Sayuni. “Damu yetu na iwe juu ya wale waishio Babeli,” asema Yerusalemu. Tazama sura |