Yeremia 51:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Nayo nchi yatetemeka, nayo ina uchungu; maana makusudi ya BWANA juu ya Babeli yasimama, kuifanya nchi ya Babeli ukiwa, isikaliwe na mtu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Nchi inatetemeka na kugaagaa kwa maumivu, maana nia ya Mwenyezi-Mungu kuhusu Babuloni ni thabiti: Ataifanya nchi ya Babuloni kuwa jangwa, ataifanya iwe bila watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Nchi inatetemeka na kugaagaa kwa maumivu, maana nia ya Mwenyezi-Mungu kuhusu Babuloni ni thabiti: Ataifanya nchi ya Babuloni kuwa jangwa, ataifanya iwe bila watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Nchi inatetemeka na kugaagaa kwa maumivu, maana nia ya Mwenyezi-Mungu kuhusu Babuloni ni thabiti: ataifanya nchi ya Babuloni kuwa jangwa, ataifanya iwe bila watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Nchi inatetemeka na kugaagaa, kwa kuwa makusudi ya Mwenyezi Mungu dhidi ya Babeli yanasimama: yaani kuangamiza nchi ya Babeli ili pasiwepo atakayeishi humo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Nchi inatetemeka na kugaagaa, kwa kuwa makusudi ya bwana dhidi ya Babeli yanasimama: yaani, kuangamiza nchi ya Babeli ili pasiwe na yeyote atakayeishi humo. Tazama sura |