Yeremia 51:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 BWANA wa majeshi ameapa kwa nafsi yake, akisema, Hakika nitakujaza watu, kama nzige, nao watapiga kelele juu yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Mwenyezi-Mungu wa majeshi ameapa kwa nafsi yake: “Hakika nitakujaza majeshi mengi kama nzige, nayo yatapiga vigelegele vya ushindi juu yako” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Mwenyezi-Mungu wa majeshi ameapa kwa nafsi yake: “Hakika nitakujaza majeshi mengi kama nzige, nayo yatapiga vigelegele vya ushindi juu yako” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Mwenyezi-Mungu wa majeshi ameapa kwa nafsi yake: “Hakika nitakujaza majeshi mengi kama nzige, nayo yatapiga vigelegele vya ushindi juu yako” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: ‘Hakika nitakujaza na watu, kama kundi la nzige, nao watashangilia kwa ushindi juu yako.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 bwana Mwenye Nguvu Zote ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: ‘Hakika nitakujaza na watu, kama kundi la nzige, nao watapiga kelele za ushindi juu yako.’ Tazama sura |