Yeremia 51:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 BWANA asema hivi, Angalia, nitaamsha juu ya Babeli, na juu yao wakaao Leb-kamai, upepo uharibuo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Nitachochea upepo wa kuangamiza dhidi ya Babuloni, dhidi ya wakazi wa Kaldayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Nitachochea upepo wa kuangamiza dhidi ya Babuloni, dhidi ya wakazi wa Kaldayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Nitachochea upepo wa kuangamiza dhidi ya Babuloni, dhidi ya wakazi wa Kaldayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “Tazama nitaamsha roho ya mwangamizi dhidi ya Babeli na wenyeji wa Leb-Kamai. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Hili ndilo asemalo bwana: “Tazama nitaamsha roho ya mwangamizi dhidi ya Babeli na watu wakaao Leb-Kamai. Tazama sura |