Yeremia 50:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Upanga uko juu ya Wakaldayo, asema BWANA, na juu yao wakaao Babeli, na juu ya wakuu wake, na juu ya watu wake wenye hekima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 “Kifo kwa Wakaldayo, kwa wakazi wa Babuloni na maofisa na wenye hekima wake! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 “Kifo kwa Wakaldayo, kwa wakazi wa Babuloni na maofisa na wenye hekima wake! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 “Kifo kwa Wakaldayo, kwa wakazi wa Babuloni na maofisa na wenye hekima wake! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 “Upanga dhidi ya Wakaldayo!” asema Mwenyezi Mungu, “dhidi ya wale wanaoishi Babeli, na dhidi ya maafisa wake na wenye busara! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 “Upanga dhidi ya Wakaldayo!” asema bwana, “dhidi ya wale waishio Babeli na dhidi ya maafisa wake na watu wenye busara! Tazama sura |