Yeremia 50:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC25 BWANA amefungua akiba yake ya silaha, naye amezitoa silaha za ghadhabu yake; maana Bwana, BWANA wa majeshi, ana kazi atakayofanya katika nchi ya Wakaldayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Nimefungua ghala yangu ya silaha, nikatoa humo silaha za ghadhabu yangu, maana mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nina kazi ya kufanya katika nchi ya Wakaldayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Nimefungua ghala yangu ya silaha, nikatoa humo silaha za ghadhabu yangu, maana mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nina kazi ya kufanya katika nchi ya Wakaldayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Nimefungua ghala yangu ya silaha, nikatoa humo silaha za ghadhabu yangu, maana mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi nina kazi ya kufanya katika nchi ya Wakaldayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Mwenyezi Mungu amefungua ghala lake la silaha na kuzitoa silaha za ghadhabu yake, kwa kuwa Bwana Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, anayo kazi ya kufanya katika nchi ya Wakaldayo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 bwana amefungua ghala lake la silaha na kuzitoa silaha za ghadhabu yake, kwa kuwa bwana Mwenyezi Mwenye Nguvu Zote anayo kazi ya kufanya katika nchi ya Wakaldayo. Tazama sura |