Yeremia 50:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Panda juu ya nchi ya Merathaimu, naam, juu yake, na juu yao wakaao Pekodi; ua, ukaangamize nyuma yao, asema BWANA, ukatende kama nilivyokuagiza, yote pia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 “Pandeni, mwiendee nchi ya Merathaimu, nendeni kuishambulia; washambulieni wakazi wa Pekodi na kuwaangamiza kabisa watu wake. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu. Fanyeni kila kitu nilichowaamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 “Pandeni, mwiendee nchi ya Merathaimu, nendeni kuishambulia; washambulieni wakazi wa Pekodi na kuwaangamiza kabisa watu wake. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu. Fanyeni kila kitu nilichowaamuru. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 “Pandeni, mwiendee nchi ya Merathaimu, nendeni kuishambulia; washambulieni wakazi wa Pekodi na kuwaangamiza kabisa watu wake. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu. Fanyeni kila kitu nilichowaamuru. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 “Shambulieni nchi ya Merathaimu na wale wanaoishi huko Pekodi. Wafuatieni, waueni na kuwaangamiza kabisa,” asema Mwenyezi Mungu. “Fanyeni kila kitu nilichowaamuru. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 “Shambulieni nchi ya Merathaimu na wale waishio huko Pekodi. Wafuatieni, waueni na kuwaangamiza kabisa,” asema bwana. “Fanyeni kila kitu nilichowaamuru. Tazama sura |