Yeremia 50:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Kwa sababu mnafurahi, kwa sababu mnashangilia, enyi mnaouteka urithi wangu, kwa sababu mmenona kama mtamba akanyagaye nafaka, nanyi mnalia kama farasi wenye nguvu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Enyi waporaji wa mali yangu! Japo mnafurahi na kushangilia, mnarukaruka kama mtamba wa ng'ombe anayepura nafaka, na kulia kama farasi dume, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Enyi waporaji wa mali yangu! Japo mnafurahi na kushangilia, mnarukaruka kama mtamba wa ng'ombe anayepura nafaka, na kulia kama farasi dume, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Enyi waporaji wa mali yangu! Japo mnafurahi na kushangilia, mnarukaruka kama mtamba wa ng'ombe anayepura nafaka, na kulia kama farasi dume, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Kwa sababu hushangilia na kufurahi, wewe utekaye urithi wangu, kwa sababu unachezacheza kama mtamba anayepura nafaka, na kulia kama farasi dume, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Kwa sababu hushangilia na kufurahi, wewe utekaye urithi wangu, kwa sababu unachezacheza kama mtamba anayepura nafaka, na kulia kama farasi dume, Tazama sura |