Yeremia 5:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Walikuwa kama farasi walioshiba wakati wa asubuhi; kila mmoja akalia kwa kutamani mke wa mwenzake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Walikuwa kama farasi walioshiba wenye tamaa, kila mmoja akimtamani mke wa jirani yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Walikuwa kama farasi walioshiba wenye tamaa, kila mmoja akimtamani mke wa jirani yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Walikuwa kama farasi walioshiba wenye tamaa, kila mmoja akimtamani mke wa jirani yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Wamelishwa vizuri, kama farasi dume wenye tamaa nyingi, kila mmoja akimlilia mke wa mwanaume mwingine. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Wamelishwa vizuri, kama farasi waume wenye tamaa nyingi, kila mmoja akimlilia mke wa mwanaume mwingine. Tazama sura |