Yeremia 5:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 nitawaendea watu wakubwa, nami nitasema nao; kwa maana hao wanaijua njia ya BWANA, na hukumu ya Mungu wao. Bali hawa kwa nia moja wameivunja nira, na kuvikata vifungo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Nitawaendea wakuu niongee nao; bila shaka, wao wanajua matakwa ya Mwenyezi-Mungu; wanajua sheria ya Mungu wao.” Lakini wote waliivunja nira yao. Waliikatilia mbali minyororo yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Nitawaendea wakuu niongee nao; bila shaka, wao wanajua matakwa ya Mwenyezi-Mungu; wanajua sheria ya Mungu wao.” Lakini wote waliivunja nira yao. Waliikatilia mbali minyororo yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Nitawaendea wakuu niongee nao; bila shaka, wao wanajua matakwa ya Mwenyezi-Mungu; wanajua sheria ya Mungu wao.” Lakini wote waliivunja nira yao. Waliikatilia mbali minyororo yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa hiyo nitaenda kwa wakuu na kuzungumza nao, hakika wao wanaijua njia ya Mwenyezi Mungu, sheria ya Mungu wao.” Lakini kwa nia moja nao pia walikuwa wameivunja nira na kuvivunja vifungo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa hiyo nitakwenda kwa viongozi na kuzungumza nao, hakika wao wanaijua njia ya bwana, Torati ya Mungu wao.” Lakini kwa nia moja nao pia walikuwa wameivunja nira na kuvivunja vifungo. Tazama sura |