Yeremia 5:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Ndipo nikasema, Hakika, hawa ni maskini; ni wajinga hawa; maana hawaijui njia ya BWANA, wala hukumu ya Mungu wao; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Ndipo nilipowaza: “Hawa ni watu duni hawana akili; hawajui matakwa ya Mwenyezi-Mungu, hawajui Sheria ya Mungu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Ndipo nilipowaza: “Hawa ni watu duni hawana akili; hawajui matakwa ya Mwenyezi-Mungu, hawajui Sheria ya Mungu wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Ndipo nilipowaza: “Hawa ni watu duni hawana akili; hawajui matakwa ya Mwenyezi-Mungu, hawajui Sheria ya Mungu wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu; wao ni wapumbavu, kwa maana hawaijui njia ya Mwenyezi Mungu, sheria ya Mungu wao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu; wao ni wapumbavu, kwa maana hawaijui njia ya bwana, Torati ya Mungu wao. Tazama sura |