Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 5:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Lakini watu hawa wana moyo wa kuasi na ukaidi; wameasi, wamekwenda zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Lakini watu hawa wana moyo wa ukaidi na uasi; wameniacha wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Lakini watu hawa wana moyo wa ukaidi na uasi; wameniacha wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Lakini watu hawa wana moyo wa ukaidi na uasi; wameniacha wakaenda zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Lakini watu hawa wana mioyo ya ukaidi na ya uasi, wamegeukia mbali na kwenda zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Lakini watu hawa wana mioyo ya ukaidi na ya uasi, wamegeukia mbali na kwenda zao.

Tazama sura Nakili




Yeremia 5:23
14 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, wasiwe kama baba zao, Kizazi cha ukaidi na uasi. Kizazi kisichojitengeneza moyo, Wala roho yake haikuwa amini kwa Mungu.


Miaka arubaini nilichukizwa na kizazi kile, Nikasema, Hawa ni watu wenye mioyo inayopotoka, Na wanaopuuza njia zangu.


Mbona mnataka kupigwa, hata sasa, hata mkazidi kuasi? Kichwa chote ni kigonjwa, moyo wote umezimia.


Mwelekeeni yeye mliyemwasi sana, enyi wana wa Israeli.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Kama watu walindao shamba, wameuzunguka wauhusuru; kwa sababu ameniasi mimi, asema BWANA.


nitawaendea watu wakubwa, nami nitasema nao; kwa maana hao wanaijua njia ya BWANA, na hukumu ya Mungu wao. Bali hawa kwa nia moja wameivunja nira, na kuvikata vifungo.


Ni waasi kupita kiasi wote pia, waendao huku na huko wakisingizia, ni shaba na chuma hao, hutenda dhuluma wote pia.


Na watu wangu wamejipinda kuniacha; ingawa wawaita kwenda kwake Aliye Juu, hapana hata mmoja atakayemtukuza.


Hujilisha dhambi ya watu wangu, hujifurahisha moyo kwa uovu wao.


Ole wake yeye aliyeasi na kutiwa unajisi, mji wa udhalimu!


Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikizi,


Kwa kuwa uasi wako naujua, na shingo yako ngumu; angalieni, mimi ningali hai pamoja nanyi leo, mmekuwa waasi juu ya BWANA; siuze nitakapokwisha kufa!


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo