Yeremia 49:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Lakini baada ya hayo nitawarudisha wana wa Amoni walio utumwani, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Lakini baadaye nitawarudishia Waamoni fanaka yao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Lakini baadaye nitawarudishia Waamoni fanaka yao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Lakini baadaye nitawarudishia Waamoni fanaka yao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 “Lakini hatimaye, nitarudisha mateka wa Waamoni,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 “Lakini hatimaye, nitarudisha mateka wa Waamoni,” asema bwana. Tazama sura |