Yeremia 49:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Neno la BWANA lililomjia Yeremia, nabii, juu ya Elamu, mwanzo wa kumiliki kwake Sedekia, mfalme wa Yuda, kusema, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia, mfalme wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia, mfalme wa Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Neno la Mwenyezi-Mungu lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia, mfalme wa Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Hili ndilo neno la Mwenyezi Mungu lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mapema katika utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Hili ndilo neno la bwana lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mapema katika utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda: Tazama sura |