Yeremia 49:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Hema zao na makundi yao watayatwaa; watachukulia mbali mapazia yao kwa faida yao wenyewe, na vyombo vyao vyote, na ngamia wao; nao watawapigia kelele wakisema, Hofu ziko pande zote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Hema zao na kondoo wao vitachukuliwa, kadhalika mapazia yao na mali yao yote; watanyanganywa ngamia wao, na kilio kitasikika: ‘Kitisho kila upande!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Hema zao na kondoo wao vitachukuliwa, kadhalika mapazia yao na mali yao yote; watanyanganywa ngamia wao, na kilio kitasikika: ‘Kitisho kila upande!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Hema zao na kondoo wao vitachukuliwa, kadhalika mapazia yao na mali yao yote; watanyang'anywa ngamia wao, na kilio kitasikika: ‘Kitisho kila upande!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Mahema yao na makundi yao ya kondoo yatachukuliwa; vibanda vyao vitatwaliwa, pamoja na mali yao yote na ngamia wao. Watu watawapigia kelele, ‘Hofu kuu iko kila upande!’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Hema zao na makundi yao ya kondoo yatachukuliwa; vibanda vyao vitatwaliwa pamoja na mali zao zote na ngamia zao. Watu watawapigia kelele, ‘Hofu kuu iko kila upande!’ Tazama sura |