Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 49:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Nami nitawasha moto katika ukuta wa Dameski, nao utayateketeza majumba ya Ben-hadadi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Nitawasha moto katika kuta za Damasko, nao utateketeza ngome za mfalme Ben-hadadi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Nitawasha moto katika kuta za Damasko, nao utateketeza ngome za mfalme Ben-hadadi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Nitawasha moto katika kuta za Damasko, nao utateketeza ngome za mfalme Ben-hadadi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 “Nitatia moto kuta za Dameski; utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 “Nitatia moto kuta za Dameski; utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”

Tazama sura Nakili




Yeremia 49:27
7 Marejeleo ya Msalaba  

Hasira ya BWANA ikawaka juu ya Israeli, akawatia mkononi mwa Hazaeli mfalme wa Shamu, na mkononi mwa Ben-hadadi mwana wa Hazaeli, siku zote.


(BWANA akawapa Israeli mwokozi, nao wakatoka mikononi mwa Washami; wana wa Israeli wakakaa hemani mwao kama zamani za kwanza.


Nami nitawasha moto katika nyumba za miungu ya Misri, na kuziteketeza, na kuwachukua mateka; naye atajipamba kwa nchi ya Misri, kama vile mchungaji avaavyo nguo zake; naye atatoka huko na amani.


Na mwenye kiburi atajikwaa, na kuanguka, wala hapana atakayemwinua; nami nitawasha moto katika miji yake, nao utawala wote wamzungukao pande zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo