Yeremia 48:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC43 Hofu, na shimo, na mtego, zaja juu yako, Ee mwenyeji wa Moabu, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Kitisho, mashimo na mtego, vinawasubiri enyi watu wa Moabu. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Kitisho, mashimo na mtego, vinawasubiri enyi watu wa Moabu. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Kitisho, mashimo na mtego, vinawasubiri enyi watu wa Moabu. Nasema mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea, enyi watu wa Moabu,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea, enyi watu wa Moabu,” asema bwana. Tazama sura |