Yeremia 48:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC38 Juu ya madari yote ya nyumba za Moabu, na katika njia kuu zake, pana maombolezo, kila mahali; kwa maana nimevunja Moabu kama chombo kisichopendeza, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 Juu ya nyumba za Moabu na katika viwanja vyao hakuna kinachosikika ila tu maombolezo. Mimi nimemvunja Moabu kama chombo kisichotakiwa na mtu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 Juu ya nyumba za Moabu na katika viwanja vyao hakuna kinachosikika ila tu maombolezo. Mimi nimemvunja Moabu kama chombo kisichotakiwa na mtu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 Juu ya nyumba za Moabu na katika viwanja vyao hakuna kinachosikika ila tu maombolezo. Mimi nimemvunja Moabu kama chombo kisichotakiwa na mtu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 Juu ya mapaa yote katika Moabu na katika viwanja hakuna kitu isipokuwa maombolezo, kwa kuwa nimemvunja Moabu kama gudulia lisilotakiwa na mtu yeyote,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 Juu ya mapaa yote katika Moabu na katika viwanja hakuna kitu chochote isipokuwa maombolezo, kwa kuwa nimemvunja Moabu kama gudulia ambalo hakuna mtu yeyote anayelitaka,” asema bwana. Tazama sura |