Yeremia 48:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Maana kila kichwa kina upara, na ndevu zote zimenyolewa; mikono yote ina alama za chale, na viuno vyote vimevikwa nguo za magunia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Kila mtu amenyoa upara na ndevu zake. Wote wamejikatakata mikononi na viunoni wamevaa mavazi ya gunia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Kila mtu amenyoa upara na ndevu zake. Wote wamejikatakata mikononi na viunoni wamevaa mavazi ya gunia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Kila mtu amenyoa upara na ndevu zake. Wote wamejikatakata mikononi na viunoni wamevaa mavazi ya gunia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Kila kichwa kimenyolewa na kila mwenye ndevu zimekatwa; kila mkono umekatwa na kila kiuno kimevalishwa gunia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Kila kichwa kimenyolewa na kila mwenye ndevu zimekatwa; kila mkono umekatwa na kila kiuno kimefunikwa kwa nguo ya gunia. Tazama sura |