Yeremia 48:35 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC35 Pamoja na hayo, asema BWANA, nitamkomesha katika Moabu mtu atoaye sadaka katika mahali pa juu, naye awafukiziaye uvumba miungu yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Nami nitamfutilia mbali kila mtu katika Moabu ambaye anatambikia vilimani na kumfukizia ubani mungu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Nami nitamfutilia mbali kila mtu katika Moabu ambaye anatambikia vilimani na kumfukizia ubani mungu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Nami nitamfutilia mbali kila mtu katika Moabu ambaye anatambikia vilimani na kumfukizia ubani mungu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Nitakomesha wote katika Moabu watoao sadaka mahali pa juu pa kuabudia, na kufukiza uvumba kwa miungu yao,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Nitakomesha wale wote katika Moabu watoao sadaka mahali pa juu, na kufukiza uvumba kwa miungu yao,” asema bwana. Tazama sura |