Yeremia 48:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC30 Najua ghadhabu yake, asema BWANA, ya kuwa si kitu; majisifu yake hayakutenda neno lolote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema30 “Nami Mwenyezi-Mungu nasema: Najua ufidhuli wake; Majivuno yake ni ya bure, na matendo yake si kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND30 “Nami Mwenyezi-Mungu nasema: Najua ufidhuli wake; Majivuno yake ni ya bure, na matendo yake si kitu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza30 “Nami Mwenyezi-Mungu nasema: Najua ufidhuli wake; Majivuno yake ni ya bure, na matendo yake si kitu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu30 Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,” asema Mwenyezi Mungu, “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu30 Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,” asema bwana, “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote. Tazama sura |