Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 48:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Na hukumu imeifikia nchi tambarare; juu ya Holoni, na juu ya Yasa, na juu ya Mefaathi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 “Hukumu imeifikia miji iliyo nyanda za juu: Holoni, Yasa, Mefaathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 “Hukumu imeifikia miji iliyo nyanda za juu: Holoni, Yasa, Mefaathi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 “Hukumu imeifikia miji iliyo nyanda za juu: Holoni, Yasa, Mefaathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,

Tazama sura Nakili




Yeremia 48:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Heshboni analia na Eleale; mpaka Yahasa sauti ya kulia kwao inasikiwa; hata watu wa Moabu waliovaa silaha wanapiga kelele sana kwa sababu hiyo; nafsi yake inatetemeka ndani yake.


na juu ya Diboni, na juu ya Nebo, na juu ya Beth-diblathaimu;


Toka kilio cha Heshboni mpaka Eleale, naam, mpaka Yahasa, wametoa sauti zao, toka Soari mpaka Horonaimu, hata Eglath-shelishia; maana maji ya Nimrimu nayo yatakuwa ukiwa.


Naye mwenye kuteka nyara atakuja juu ya kila mji, wala hakuna mji utakaookoka; bonde nalo litaangamia, nayo nchi tambarare itaharibiwa; kama BWANA alivyosema.


basi, tazama, nitawafunulia wana wa mashariki ubavu wa Moabu toka miji yake, toka miji yake iliyo mipakani mwake, utukufu wa nchi hiyo, Beth-yeshimothi, na Baal-meoni, na Kiriathaimu,


Basi kama niishivyo, asema BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, Hakika Moabu atakuwa kama Sodoma, na wana wa Amoni kama Gomora, yaani, milki ya upupu, na mashimo ya chumvi, ukiwa wa daima; watu wangu waliosalia watawateka nyara, na watu wa taifa langu waliobaki watawarithi.


Lakini Sihoni hakukubali kumwacha Israeli kupita katika mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, akatoka aende kupigana na Israeli jangwani, akafika mpaka Yahasa; akapigana na Israeli.


na Nebo, na Baal-meoni, (majina yake yalikuwa yamegeuzwa) na Sibma; nao wakaiita miji waliyoijenga majina mengine.


na Heshboni na miji yake yote iliyoko katika bonde; na Diboni, na Bamoth-baali, na Beth-baal-meoni;


na Yahasa, na Kedemothi, na Mefaathi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo