Yeremia 48:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Sifa za Moabu haziko tena; katika Heshboni wameazimia mabaya juu yake, Haya! Njooni, na tumkatilie mbali asiwe taifa. Wewe nawe, Ee Madmena, utanyamazishwa; upanga utakufuatia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 fahari ya Moabu imetoweka. Mpango ulifanywa huko Heshboni dhidi yake: ‘Haya! Tuwaangamize wasiwe tena taifa!’ Nawe Madmeni utanyamazishwa, upanga utakufuatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 fahari ya Moabu imetoweka. Mpango ulifanywa huko Heshboni dhidi yake: ‘Haya! Tuwaangamize wasiwe tena taifa!’ Nawe Madmeni utanyamazishwa, upanga utakufuatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 fahari ya Moabu imetoweka. Mpango ulifanywa huko Heshboni dhidi yake: ‘Haya! Tuwaangamize wasiwe tena taifa!’ Nawe Madmeni utanyamazishwa, upanga utakufuatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Moabu haitasifiwa tena; huko Heshboni watu watapanga jinsi ya kumwangusha: ‘Njooni na tuliangamize taifa lile.’ Wewe nawe, ee Madmena, utanyamazishwa; upanga utakufuatia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Moabu haitasifiwa tena; huko Heshboni watu watafanya shauri baya la anguko lake: ‘Njooni na tuangamize taifa lile.’ Wewe nawe, ee Madmena, utanyamazishwa; upanga utakufuatia. Tazama sura |