Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 48:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Msiba wa Moabu umefika karibu, Na mateso yake wanamjia haraka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Janga la Moabu limekaribia, maangamizi yake yanawasili haraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Janga la Moabu limekaribia, maangamizi yake yanawasili haraka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Janga la Moabu limekaribia, maangamizi yake yanawasili haraka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “Kuanguka kwa Moabu kumekaribia, janga kubwa litamjia kwa haraka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “Kuanguka kwa Moabu kumekaribia, janga kubwa litamjia kwa haraka.

Tazama sura Nakili




Yeremia 48:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Hata mshale umchome maini; Kama ndege aendaye haraka mtegoni; Wala hajui ya kuwa ni hasara ya nafsi yake.


Na mbwamwitu watalia ndani ya ngome zake; na mbweha ndani ya majumba ya anasa; na wakati wake u karibu kufika, na siku zake hazitaongezeka.


Ndipo BWANA akaniambia, Umeona vema, kwa maana ninaliangalia neno langu, ili nilitimize.


Basi uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Nitaikomesha mithali hii, wasiitumie tena kama mithali katika Israeli; lakini uwaambie, Siku hizo ni karibu, na utimilizo wa maono yote.


Basi uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Maneno yangu hayatakawilishwa tena hata moja, bali neno nitakalolinena litatimizwa, asema Bwana MUNGU.


Kisasi ni changu mimi, na kulipa, Wakati itakapoteleza miguu yao; Maana siku ya msiba wao imekaribia, Na mambo yatakayowapata yatafanya haraka.


Na kwa tamaa yao watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; wao ambao hukumu yao tangu zamani haikawii, wala maangamizi yao hayasinzii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo