Yeremia 48:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Na Moabu ataona haya kwa ajili ya Kemoshi, kama nyumba ya Israeli ilivyoona haya kwa ajili ya Betheli, tegemeo lao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Hapo Wamoabu watamwonea aibu mungu wao Kemoshi, kama vile watu wa Israeli walivyomwonea aibu Betheli, mungu waliyemtegemea. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Hapo Wamoabu watamwonea aibu mungu wao Kemoshi, kama vile watu wa Israeli walivyomwonea aibu Betheli, mungu waliyemtegemea. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Hapo Wamoabu watamwonea aibu mungu wao Kemoshi, kama vile watu wa Israeli walivyomwonea aibu Betheli, mungu waliyemtegemea. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kisha Moabu atamwonea aibu Kemoshi, kama vile nyumba ya Israeli walivyoona aibu walipotegemea Betheli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kisha Moabu atamwonea aibu mungu wao Kemoshi, kama vile nyumba ya Israeli walivyoona aibu walipotegemea mungu wa Betheli. Tazama sura |