Yeremia 47:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Ee upanga wa BWANA, Siku ngapi zitapita kabla hujatulia? Ujitie katika ala yako; Pumzika, utulie. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Ee upanga wa Mwenyezi-Mungu! Utachukua muda gani ndipo utulie? Ingia katika ala yako, ukatulie na kunyamaa! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Ee upanga wa Mwenyezi-Mungu! Utachukua muda gani ndipo utulie? Ingia katika ala yako, ukatulie na kunyamaa! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Ee upanga wa Mwenyezi-Mungu! Utachukua muda gani ndipo utulie? Ingia katika ala yako, ukatulie na kunyamaa! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 “Mnalia, ‘Aa, upanga wa Mwenyezi Mungu, utaendelea hadi lini ndipo upumzike? Rudi ndani ya ala yako; acha na utulie.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 “Mnalia, ‘Aa, upanga wa bwana, utaendelea mpaka lini ndipo upumzike? Rudi ndani ya ala yako; acha na utulie.’ Tazama sura |