Yeremia 46:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Na askari wake waliojiwa, walio kati yake, Ni kama ndama walionona malishoni; Maana wao nao wamerudi nyuma, Wamekimbia wote pamoja, wasisimame; Maana siku ya msiba wao imewafikia, Wakati wa kujiliwa kwao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Hata askari wake wa kukodiwa ni kama ndama wanono; nao pia wamegeuka, wakakimbia pamoja, wala hawakuweza kustahimili, kwa maana siku yao ya kuangamizwa imefika, wakati wao wa kuadhibiwa umewadia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Hata askari wake wa kukodiwa ni kama ndama wanono; nao pia wamegeuka, wakakimbia pamoja, wala hawakuweza kustahimili, kwa maana siku yao ya kuangamizwa imefika, wakati wao wa kuadhibiwa umewadia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Hata askari wake wa kukodiwa ni kama ndama wanono; nao pia wamegeuka, wakakimbia pamoja, wala hawakuweza kustahimili, kwa maana siku yao ya kuangamizwa imefika, wakati wao wa kuadhibiwa umewadia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Askari wake waliokodiwa katika safu zake wako kama ndama walionenepeshwa. Wao pia watageuka na kukimbia pamoja, hawataweza kuhimili vita, kwa maana siku ya msiba inakuja juu yao, wakati wao wa kuadhibiwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Askari wake waliokodiwa katika safu zake wako kama ndama walionenepeshwa. Wao pia watageuka na kukimbia pamoja, hawataweza kuhimili vita, kwa maana siku ya msiba inakuja juu yao, wakati wao wa kuadhibiwa. Tazama sura |