Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 46:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Neno hili ndilo ambalo BWANA alimwambia Yeremia, nabii, kueleza jinsi Nebukadneza, mfalme wa Babeli, atakavyokuja na kuipiga nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Neno ambalo Mwenyezi-Mungu alimwambia Yeremia wakati alipofika Nebukadneza mfalme wa Babuloni kuishambulia nchi ya Misri:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Neno ambalo Mwenyezi-Mungu alimwambia Yeremia wakati alipofika Nebukadneza mfalme wa Babuloni kuishambulia nchi ya Misri:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Neno ambalo Mwenyezi-Mungu alimwambia Yeremia wakati alipofika Nebukadneza mfalme wa Babuloni kuishambulia nchi ya Misri:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Huu ndio ujumbe ambao Mwenyezi Mungu alimwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Nebukadneza, mfalme wa Babeli ili kuishambulia Misri:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Huu ndio ujumbe bwana aliomwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ili kuishambulia Misri:

Tazama sura Nakili




Yeremia 46:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mataifa yote watamtumikia yeye, na mwanawe, na mwana wa mwanawe, hata utakapowadia wakati wa nchi yake mwenyewe, ndipo mataifa mengi na wafalme wakuu watamtumikisha yeye.


BWANA asema hivi, Tazama, nitamtia Farao Hofra, mfalme wa Misri, katika mikono ya adui zake, na katika mikono yao wamtafutao roho yake; kama vile nilivyomtia Sedekia, mfalme wa Yuda, katika mikono ya Nebukadneza, mfalme wa Babeli, adui yake aliyeitafuta roho yake.


Basi, Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, nitaleta upanga juu yako, nami nitakatilia mbali nawe wanadamu na wanyama.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo