Yeremia 44:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Basi, kwa sababu hiyo BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazama, nitaelekeza uso wangu juu yenu, ili niwaletee mabaya, hata kukatilia mbali Yuda yote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Haya! Nitawageukia niwaleteeni maafa na kuiangamiza Yuda yote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Haya! Nitawageukia niwaleteeni maafa na kuiangamiza Yuda yote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, nasema hivi: Haya! nitawageukia niwaleteeni maafa na kuiangamiza Yuda yote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Kwa hiyo, hili ndilo Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, Mungu wa Israeli, asemalo: Mimi nimekusudia kuleta maafa juu yenu, na kuiangamiza Yuda yote. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Kwa hiyo, hili ndilo bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Mimi nimekusudia kuleta maafa juu yenu, na kuiangamiza Yuda yote. Tazama sura |