Yeremia 43:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 wakaingia nchi ya Misri; maana hawakuitii sauti ya BWANA; wakafika hadi Tapanesi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 wakaenda nchini Misri, wakawasili mjini Tahpanesi. Ndivyo walivyokataa kutii alichosema Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 wakaenda nchini Misri, wakawasili mjini Tahpanesi. Ndivyo walivyokataa kutii alichosema Mwenyezi-Mungu Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 wakaenda nchini Misri, wakawasili mjini Tahpanesi. Ndivyo walivyokataa kutii alichosema Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Mwenyezi Mungu, wakaenda hadi Tapanesi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi. Tazama sura |