Yeremia 42:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 nami nimewafunulia haya leo; lakini ninyi hamkuitii sauti ya BWANA, Mungu wenu, katika neno lolote ambalo amenituma kwenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Leo mimi nimewaambieni lakini hamkutii chochote ambacho Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu amenituma niwaambie. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Leo mimi nimewaambieni lakini hamkutii chochote ambacho Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu amenituma niwaambie. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Leo mimi nimewaambieni lakini hamkutii chochote ambacho Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu amenituma niwaambie. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Nimewaambieni leo, lakini bado ninyi hamtaki kumtii Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, katika yote aliyonituma niwaambie. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Nimewaambieni leo, lakini bado ninyi hamtaki kumtii bwana Mwenyezi Mungu wenu katika yote aliyonituma niwaambie. Tazama sura |