Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yeremia 42:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Nami nitawapa rehema, kwamba awarehemu ninyi, na kuwarudisha mkae katika nchi yenu wenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nitawahurumieni na kumfanya mfalme awahurumie na kuwaacha nchini mwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nitawahurumieni na kumfanya mfalme awahurumie na kuwaacha nchini mwenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nitawahurumieni na kumfanya mfalme awahurumie na kuwaacha nchini mwenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma kwenu na kuwarudisha katika nchi yenu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma nanyi na kuwarudisha katika nchi yenu.’

Tazama sura Nakili




Yeremia 42:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Bwana, nakusihi, litege sikio lako, uyasikilize maombi ya mtumishi wako, na maombi ya watumishi wako, wanaofurahi kulicha jina lako; nakuomba sana; unifanikishe mimi, mtumishi wako, leo, ukanijalie rehema mbele ya mtu huyu. (Maana, nilikuwa mnyweshaji wa mfalme).


Njia za mtu zikimpendeza BWANA, Hata adui zake huwapatanisha naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo