Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 41:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 wakaenda zao, wakakaa katika Geruthi Kimhamu, ulio karibu na Bethlehemu, ili wapate kuingia Misri,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, wakaenda zao, wakakaa huko Geruthi Kimahamu karibu na Bethlehemu, wakikusudia kuingia katika nchi ya Misri, kwa sababu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, wakaenda zao, wakakaa huko Geruthi Kimahamu karibu na Bethlehemu, wakikusudia kuingia katika nchi ya Misri, kwa sababu

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, wakaenda zao, wakakaa huko Geruthi Kimahamu karibu na Bethlehemu, wakikusudia kuingia katika nchi ya Misri, kwa sababu

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kisha wakasafiri hadi Geruth-Kimhamu karibu na Bethlehemu wakiwa njiani kwenda Misri

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Kisha wakaenda mbele na kutua Geruth-Kimhamu karibu na Bethlehemu wakiwa njiani kwenda Misri

Tazama sura Nakili




Yeremia 41:17
6 Marejeleo ya Msalaba  

mkisema, La! Lakini tutakwenda nchi ya Misri, ambayo hatutaona vita, wala kuisikia sauti ya tarumbeta, wala kuona njaa kwa kukosa chakula; nasi tutakaa huko;


BWANA asema katika habari zenu, enyi mabaki ya Yuda, Msiingie Misri; jueni sana ya kuwa nimewashuhudia hivi leo.


Lakini Yohana, mwana wa Karea, na wakuu wote wa majeshi, wakawatwaa wote waliosalia wa Yuda, waliokuwa wamerudi kutoka mataifa yote walikofukuzwa, wakae katika Yuda;


wakaingia nchi ya Misri; maana hawakuitii sauti ya BWANA; wakafika hadi Tapanesi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo