Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 40:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Lakini Gedalia, mwana wa Ahikamu, akamwambia Yohana, mwana wa Karea, Usilitende jambo hili, maana unamsingizia Ishmaeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu, akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo hilo! Mambo unayosema juu ya Ishmaeli si ya kweli!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu, akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo hilo! Mambo unayosema juu ya Ishmaeli si ya kweli!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu, akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo hilo! Mambo unayosema juu ya Ishmaeli si ya kweli!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo hilo! Unalosema kuhusu Ishmaeli si kweli.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo kama hilo! Unalosema kuhusu Ishmaeli si kweli.”

Tazama sura Nakili




Yeremia 40:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akaondoka huyo Ishmaeli, mwana wa Nethania, na watu wale kumi waliokuwa pamoja naye, wakampiga Gedalia, mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, kwa upanga, wakamwua; yeye ambaye mfalme wa Babeli amemweka kuwa mtawala wa nchi.


Kwa nini tusiseme (kama tulivyosingiziwa, na kama wengine wanavyokaza kusema ya kwamba twasema hivyo), Na tufanye mabaya, ili yaje mema? Ambao kuhukumiwa kwao kuna haki.


haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo