Yeremia 4:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Na katika siku hiyo itakuwa, asema BWANA, moyo wa mfalme utapotea, na moyo wa wakuu wake; na makuhani watastaajabu, na manabii watashangaa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Siku hiyo, mfalme na wakuu watakufa moyo; makuhani watapigwa na bumbuazi, na manabii watashangaa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Siku hiyo, mfalme na wakuu watakufa moyo; makuhani watapigwa na bumbuazi, na manabii watashangaa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Siku hiyo, mfalme na wakuu watakufa moyo; makuhani watapigwa na bumbuazi, na manabii watashangaa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “Katika siku ile,” asema Mwenyezi Mungu “mfalme na maafisa watakata tamaa, makuhani watafadhaika, na manabii watashangazwa mno.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “Katika siku ile,” asema bwana “mfalme na maafisa watakata tamaa, makuhani watafadhaika, na manabii watashangazwa mno.” Tazama sura |