Yeremia 4:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Kama watu walindao shamba, wameuzunguka wauhusuru; kwa sababu ameniasi mimi, asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 wanauzingira Yerusalemu kama walinda mashamba, kwa sababu watu wake wameniasi mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 wanauzingira Yerusalemu kama walinda mashamba, kwa sababu watu wake wameniasi mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 wanauzingira Yerusalemu kama walinda mashamba, kwa sababu watu wake wameniasi mimi Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Wamemzunguka kama watu walindao shamba, kwa sababu amefanya uasi dhidi yangu,’ ” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Wamemzunguka kama watu walindao shamba, kwa sababu amefanya uasi dhidi yangu,’ ” asema bwana. Tazama sura |