Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yeremia 4:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Maana sauti yatangaza habari toka Dani, yahubiri uovu toka vilima vya Efraimu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Sauti kutoka Dani inatoa taarifa; inatangaza maafa kutoka vilima vya Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Sauti kutoka Dani inatoa taarifa; inatangaza maafa kutoka vilima vya Efraimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Sauti kutoka Dani inatoa taarifa; inatangaza maafa kutoka vilima vya Efraimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Sauti inatangaza kutoka Dani, ikipiga mbiu ya maafa kutoka vilima vya Efraimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Sauti inatangaza kutoka Dani, ikipiga mbiu ya maafa kutoka vilima vya Efraimu.

Tazama sura Nakili




Yeremia 4:15
8 Marejeleo ya Msalaba  

Jinsi ilivyo mizuri juu ya milima Miguu yake aletaye habari njema, Yeye aitangazaye amani, Aletaye habari njema ya mambo mema, Yeye autangazaye wokovu, Auambiaye Sayuni, Mungu wako anamiliki!


Sauti imesikiwa, Tazama, inakuja; mshindo mkuu kutoka nchi ya kaskazini, ili kuifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa, makao ya mbweha.


Kimbieni mpate kuwa salama, enyi wana wa Benyamini; tokeni katika Yerusalemu, pigeni tarumbeta katika Tekoa, simamisheni ishara juu ya Beth-hakeremu; kwa maana mabaya yanachungulia toka kaskazini, na uharibifu mkuu.


Kutoka Dani kumesikiwa mkoromo wa farasi wake; nchi yote pia inatetemeka kwa sauti ya mlio wa farasi wake wa vita; maana wamekuja, wamekula nchi na vyote vilivyomo; huo mji na wote wakaao ndani yake.


Yoshua akawaambia, Kwa kuwa wewe u taifa kubwa la watu, haya, kwea uende mwituni, ujikatie mahali hapo kwa ajili ya nafsi yako katika nchi ya Waperizi, na ya hao Warefai; maana hiyo nchi ya vilima ya Efraimu ni nyembamba, haikutoshi.


Nao wakaweka Kedeshi katika Galilaya katika nchi ya vilima ya Naftali, na Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na Kiriath-arba (ndio Hebroni) katika nchi ya vilima ya Yuda.


Wakauita mji jina lake Dani, kwa kulifuata jina la baba yao Dani, aliyezaliwa na Israeli; lakini jina la mji huo hapo awali lilikuwa Laisha.


Ndipo wana wa Israeli walipotoka; na mkutano ukakutanika kama mtu mmoja, kutoka Dani hadi Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi wakamkutanikia BWANA huko Mispa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo